Azizi kaletea offer zaid ya 3 za timu kubwa barani Africa zenye pesa chafu...hivyo bas sy rahis Kwa yeye kusalia yanga ndy maana yanga walipambana kupata Saini ya chama wakijua wanaweza kumpoteza Aziz na mpaka sasa hajatia Saini yanga ...na endapo ataondoka sy rahis Kwa machezaji mengine kukupa...