Ayoub anaanzisha harakaharaka kwake Che Malone.. Che Malone anatafuta wa kucheza nae anampasia Fabriiiiis Luamba ngoma unaweza kumuita midfielder teacher anapokea mali uzuuuri kabisa anatafuta pa kupita anarudisha kwa zimbwe makotroo.. zimbwe anapiga pasi rula inafika kwa fundi Jean Charles...