Dar-es-salaam.
Klabu ya Coastal union imeanza kwa kishindo michuano ya Darport Kagame Cup kwa kushinda goli 1-0 dhidi ya Dekadaha FC ya nchini Somalia. Michuano hii imeanza rasmi siku ya jana tarehe 9 Julai na inategemewa kufikia tamati tarehe 28 Julai huku viwanja vinavyotumika ni uwanja mpya...