Kaka huu ushabik wa kulwa na doto ni kwel haufai,baka wanamsifu kidogo , agenda inahamia kwa mwngne wa nje ya tz,huu niumama had mchezaj anaamua atakacho kwakuwa mmempa kiburi,,,hongera unenena,ila watakuona unabweka tuu
Nasemajee,wazee wayanga kama wamefanya mchezo uonekane nbaya hivi😅 kiufupi wazee ttawakimbiza tr 8 pale lupaso Benjamin mkapa stadium 🏟️,,ubaya ubwela,tuna mtale jamaa anapima umri sahh😂😅😅😀
Jana wamecheza na under17 wanajitamba wao bora 😅,
UBAYA UBWELA 😅 😅