Search results

  1. A

    Ukipata Nafasi Ya Kuzungumza Na Kibu Denis Ungemwambia Nini?

    Kibu aache ujinga, hicho anachokifanya ni kujipotezea muda huku wenzake wakijifua na baadae akiingia uwanjani na pale anapoharibu atasema ana majeraha au ndo ile mambo ya kutupiwa majini 😂😂😂😂