Goli la kwanza la Tanzania 🇹🇿 tumefungwa kizembe kutoonesha ushilikiano kama alivyoonesha Ibrahim baka kwanza apewe mauwa yake baka kamwaga jasho kwa ajili ya taifa lake wakupewa lawama pale katka lile goli ni nondo mwamnyeto I think akuwa na kokoto mchanga na simenti na ndiomana akuweza...