Search results

  1. C

    FULL TIME NGAO YA JAMII 2024: Yanga SC 1 Simba SC 0 Tathmini Yako Ikoje?

    Binafsi yangu simba imeimprove sana wachezaji wetu wengi ni wageni hawana uzoefu na dabiy hii lakin pia kila mchezaji aliyesajiliwA anauwezo mkubwa, nawapongeza sana Kwa KAZI mzuri, mwakA huu ni wasimba,tutakutana tena tu