Search results

  1. Hammy36

    Ningekuwa Kwenye Benchi La Ufundi La Klabu Ya Simba SC Ningependekeza Kikosi Hiki

    Simba SC ni timu ambayo imeshajijengea jina kubwa barani Afrika hivyo ukubwa huo unatakiwa kuonekana kwenye kila mashindano inayoshiriki. Kuna wachezaji ambao hawastahili kuanza kwenye first eleven ya mwalimu, baadhi ya wachezaji hao ni; Balua,Shomari Kapombe: ( amekuwa uchochoro wa adui...
  2. Hammy36

    Eti Wana Kijiweni Kwanini Ni Simba vs Yanga Na Sio Yanga vs Simba

    Nimechunguza na kutambua kuwa watu wengi linapokuja suala la mechi ya watani wa jadi basi wengi wataanza kuitaja Simba kisha Yanga. Yaani leo ni mechi ya Simba na Yanga. Yaani lazima Simba aanze kisha Yanga atafuata. Hili lipoje huko kwenu na ni nini sababu ya hili kutokea.
  3. Hammy36

    WanaKIJIWENI Kwa Kauli Hii Mna Lipi La Kumshauri ISRAH MWENDA Kama Watu Wa Boli?

    Baada ya sakata lake la usajili ambalo linaendelea kutokota katika mitandao ya kijamii ISRAH MWENDA anasema "Nipo kwenye mchakato wa kuvunja mkataba, nyie subirini mtapata taarifa, Singida wapo nje ya makubaliano tuliyokubaliana. Mpira wetu una changamoto sana. Halafu baadae utasikia wazawa...
  4. Hammy36

    Vuvuzela Zipigwe Marufuku Viwanjani Tanzania , Kwani Hatuwezi Kushangilia Wenyewe?

    Vuvuzela ni vitarumbeta vilivyobuniwa Afrika ya kusini wakati wa mashindano ya FIFA world cup 2010 kwa ajili ya mashabiki kutumia wakati wa kushangilia mchezo. Baada ya hapo vikasambaa duniani kwa haraka sana na mashambiki wa nchi mbamimbali wakaanza kuvitumia kwenye kushangilia timu zao. Hata...
  5. Hammy36

    Rekodi Za Leonel Ateba Mshambuliaji Mpya Wa Klabu Ya Simba

    KLABU ya Simba imetangaza kukamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Cameroon, Lionel Ateba kwa kumsainisha mkataba wa miaka mitatu. Nyota huyo kutoka klabu ya USM Alger ya Algeria anajiunga na Simba kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji huku viongozi wa timu hiyo wakitakiwa kukata jina...
  6. Hammy36

    SIMBA SC Na Azam, Kuna Kitu Yanga Anawafundisha Lakini Hamuelewi. Mpira Hauna Shortcut

    Yanga imechagua professional football over drama na traditional ways of doing things na kimsingi wapo serious . Hakuna mambo ya ulaghai. Kalumanzila na mpira wa mdomoni.. everything ni kwenye pitch , tuoneshe kikosi cha bil 7, otherwise ni drama na traditional ways of doing things. Very soon...
  7. Hammy36

    Kindege (Aviator) Kilivyosepa Na Milioni 7 Ya Mtaji Najihisi Kufa

    Nashindwa kuwaambia jinsi nilivyojikatia tamaa kiasi cha kuwa kichaa. Ila ninachoweza kuwaambia tu vijana wenzangu tuacheni kubeti kwa malengo kwamba tunapata pesa huko haraka haraka. Fikiria nimefanya kazi ya kuajiriwa kwa miaka 8, nikafukuzwa kazi nikaenda NSSF nikachukua milion 7.5...
  8. Hammy36

    Unamtania Kwa Jina Gani Rafiki Yako Ambaye Hashabikii Timu Unayoishabikia?

    Tumezoea kwamba kwa Tanzania kuna majina mengi sana ambayo yapo na yanatumiwa na mashabiki japokua sio rasmi sana lakini huwa ni kama njia mojawapo ya utani kwao. Na mara nyingi ukisikia jina hilo unajua kabisa hapa kamaanisha timu flani au anamtania shabiki wa timu flani Unamtania Kwa Jina...
  9. Hammy36

    Hivi Ni Kweli Yanga Kiingilio Cha Elfu 5 Pia Kimewashinda?

    Hii timu kweli huu ubingwa wanaupata kihalali au wanatumia uchawi wa kizungu kwa timu kinzani.? Haiwezekani timu inachukua ubingwa 3 years consecutive lakin mashabiki wake bado wanashabikia mtandaoni na hawana imani zaidi ya timu yao. Kutwa kubishana mshahara wa Azizi Ki mara azizi anatoka na...
  10. Hammy36

    MASTAA WALIOSEPA WAKARUDI BONGOโ€ฆSIMBA NA YANGA USIPIME

    UTAMU wa Ligi kuu ya NBC unazidi kuongeza na sasa ni miongoni mwa Ligi 6 bora za Afrika, hali hii inawafanya wachezaji wengi kukimbilia kucheza Tanzania. Soka la Bongo tumekuletea majina ya mastaa kibao ambao waliondoka Bongo na baadae kurudi tena kukiwasha kutokana na utamu wa Ligi hii. BOBAN...
  11. Hammy36

    Darasa La Bure Kwa Wana KIJIWENI Kuhusu Sakata La Kibu

    ๐——๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐—น๐—ฎ ๐—ฏ๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ : Hakuna mkataba ambao hauvunjiki (FIFA) walitambua kwa LOOP-HOLE hiyo wachezaji wengi wataitumia vibaya kuziacha timu zao kiholela wanapopata ofa kubwa zaidi kutoka kwa timu zingine hivyo kufanya baadhi ya vilabu vyenye uchumi wa chini kuathirika. Wakaweka kanuni za kufuata...
  12. Hammy36

    Haji Manara Acha Dharau Na Dhihaka Kwa Ali Kamwe , Yanga SC Imefaidika Nae 'Kibrandi' Kuliko Ulivyokuwepo

    Haji Manara labda nikusaidie Kitaaluma Afisa Habari ndiyo huyo huyo Msemaji acha kutaka Kuwadanganya Watu. Hivi Logically tu Haji Manara kuna tofauti kati ya Information Officer na Communication Manager? Tuliosoma vyema Mass Communication na Kubobea nayo hapa si tu tunakudharau ila pia tunakuona...
  13. Hammy36

    Maajabu ya Chama wa Simba na Chama wa Yanga

    Haya mimi nimeyaita maajab maana haijawahi kutokea na huenda wengine hili hawakuliona. Jana YANGA walipokuwa wanacheza mchezo wa kirafiki na AUGSBURG ya Ujerumani, nilimuona Chota Chama akifanyiwa substitution (mabadiliko) ktk kipindi cha pili. Maajabu kwangu ni pale Chama alipoitwa kutoka...
  14. Hammy36

    Ujue Mchezo Wa Aviator Au Kindege Na Siri Zilizojificha Nyuma Yake

    Leo tuangazie adui wa maendeleo kwa watu wa rika zote anayejulikana kama aviator na maarufu kwa jina la Kandege. Mchezo huu umegubikwa na siri nyingi sana na ambazo wenye betting sites wamekuwa wakizitumia kuchota mamilioni ya fedha kutoka kwa wateja wao bila jasho. Wachezaji wa huu mchezo...
  15. Hammy36

    Ratiba Kamili Ya Yanga Kujiandaa Na Msimu wa 2024/2025 Umeionaje?

    Pre Season ya Young Africans ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ โžก๏ธ Leo Julai 18 inaenda Afrika Kusini ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ โžก๏ธ Julai 20 inacheza ๐Ÿ†š Augsburg ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช โžก๏ธ Julai 24 inacheza ๐Ÿ†š Ts Galaxy ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ (Closed Door) โžก๏ธ Julai 28 inacheza ๐Ÿ†š Kaizer Chiefs ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ โžก๏ธ Alfajiri ya Julai 30 inawasili Dar Es Salaam ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
  16. Hammy36

    Wapinzani Wa Yanga Wazuiwa Kutumia Uwanja Wao Yanga Ishindwe Yenyewe Tu Kimataifa

    JAMBO Hili linaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya wapinzani wao kwenye hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Vitalโ€™O FC kuzuiwa kutumia uwanja wao wa nyumbani wa Intwali uliopo Bujumbura, Burundi. Ukaguzi uliofanywa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) umebaini kuwa uwanja...
  17. Hammy36

    Panga Kikosi Chako Unachoanza Nacho Kutokana Na Usajili Wa Timu Yako

    Hivi sasa ndio kipindi ambacho macho na masikio ya mashabiki Wa Soka wanaangalia Klabu zao zinafanya maboresho Gani katika vikosi vyao na Tayari zipo Timu ambazo zimeachana na baadhi ya wachezaji huku zikiongeza wachezaji wapya... Si umeuona usajili wa timu yako? Panga Kikosi Chako ambacho...
  18. Hammy36

    Simba Inaenda Kurudisha Hadhi Na Msisimko Wa Kombe La CAF Shirikisho

    Kuna siku niliwahi kupost kuwa CAF walihuzunika sana msimu ule wa 2022-2023 kwa timu zilizoshindana hasa zile zilizofika mbali katika Kombe la Shirikisho. Hadi ikafikia hatua wakaanza kufikiria kuliondoa kabisa kombe hilo kuondoa aibu ndogo ndogo kama zile. Nafikiri sponsors waliona ni upuuzi...
  19. Hammy36

    Nawakumbusha Tuliwahi Kumsajili Beki Mmoja Akiitwa Mohamed Ouattara Lakini Tukaishia Kumtukana, Tusubiri Uwanjani Ndio Tuwasifie

    Ukimuona Mohamed Outara unaweza sema timu imepata beki wa maana sana, Simba iliwahi kumsajili beki huyo kutoka sudan. Tulimsifia mnooooo, tukasema tumepata beki. Siku ile alipozungushwa na Fiston Mayele tukapigwa na utopolo ndipo thamani yetu kwake ilipoishia. Outtara alikuwa na mwili...
  20. Hammy36

    Hizi Hapa Mechi Za Magoli Pekee Yaani Over 1.5

    Al Ittihad vs Pyramids Over 1.5 Grobina vs Tukums 2000 Over 1.5 Inter Turku vs Lahti Over 1.5 AC Oulu vs SJK Over 1.5 Al Ahly vs El Gaish Over 1.5 Stromsgodset vs Sandefjord Over 1.5 Thor Akureyri vs Grindavik Over 1.5 Atlas vs Deportivo Muniz Over 1.5 Hafnarfjordur vs KA Akureyri Over...