Search results

  1. Sports journalist

    Ronald Araùjo kiboko ya Mawinga wasumbufu

    Jana kwenye El Classicò tulishuhudia beki kisiki wa Fc Barcelona Ronald Araùjo akimuweka kwenye mfuko winga hatari wa Real Madrid Vini Jr. Araùjo alipewa kazi maalum na Xavi ni kuhakikisha anamfanyia Marking Vini asilete madhara kwa upande wao. Vini Jr ni mchezaji mwenye kasi sana hivyo...
  2. Sports journalist

    Kwa sasa ni Muhimu Fei toto kucheza kwa afya ya soka lake na taifa kwa ujumla

    Ni takribani miezi mitatu sasa tangu kiungo Feisal Salum kuandika barua ya kuvunja mkataba dhidi ya muajiri wake Yanga,kwa kile kinachodaiwa ni maslahi madogo anayopata. Feisal alifanya hivyo kwa kuona kile anachofanya uwanjani na anachopata ni vitu viwili tofauti,hivyo aliamua kuvunja mkataba...
  3. Sports journalist

    Kushinda mataji ni tabia

    Ni miaka sita tangu United washinde taji lao la mwisho,lilikuwa Europa league chini ya Mourinho baada ya hapo wamekaa kwa kipindi chote bila taji. Leo katika dimba la Wembley chini ya kocha Eric Ten Hag wametwaa taji lao la kwanza dhidi ya Newcastle. Kutwaa taji hili inakuwa hamasa kwa...
  4. Sports journalist

    Graham Potter hana Uelekeo kabisa,anazidi kuididimiza Chelsea

    Chelsea leo wamepoteza tena mbele ya spurs, unakuwa mchezo wao wa 10 toka mwaka huu kuanza hawajapata ushindi. Ni historia mbaya kwa Chelsea na sio kawaida yao pia,timu ndio ina wachezaji wapya lakini bado kocha anashindwa kuonyesha kile alichonacho. Potter amekuja Chelsea kwa lengo la...
  5. Sports journalist

    Mpira ni zaidi ya hamasa za viongozi nje ya uwanja

    Nimetoka kutazama mechi ya Al Alhly dhidi ya Mamelod Sundown, mchezo uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2. Nikiwa naangalia hii mechi yenye hadhi ya fainali ghafla nikakumbuka kwamba hii ndo michuano wanayoshiriki Simba pia. Simba ambao wao wamewekeza zaidi kwenye hamasa za nje ya uwanja huku...
  6. Sports journalist

    Muhimu alama tatu kwanza,timu kutocheza vizuri sio muhimu kwa sasa

    Simba wamepata ushindi wao wa kwanza dhidi ya Vipers katika mashindano ya klabu bingwa Afrika ugenini. Ushindi huo unawafanya kufikisha alama 3 wakiwa nafasi ya tatu, Simba walihitaji zaidi matokeo haya kuliko kuonyesha kiwango bora ili kuweza kurejesha morali ndani ya timu. Kuhusu kutocheza...
  7. Sports journalist

    Simba kufa, kupona leo

    Simba leo jioni atashuka dimbani akiwa mgeni wa Vipers katika dimba la St. Mary's nchini Uganda. Katika mchezo wa leo Simba ataingia akiwa na kumbukumbu mbaya ya kupoteza mechi zake mbili zilizopita dhidi ya Horoya na Raja huku akiwa hajafunga goli lolote kwenye michezo hiyo. Hivyo Simba leo...
  8. Sports journalist

    Ten Hag kuirudisha United ya Ferguson

    Manchester United imekuwa kwenye kiwango bora tangu kurejea kwa ligi kuu Uingereza baada ya michuano ya world Cup. United chini ya Eric Ten Hag wanacheza soka safi na kuvutia huku wakiwa wameshind michezo 28 kwenye michuano yote mpaka hivi sasa. Wachambuzi wengi wamekuwa wanasifia uwezo wa...
  9. Sports journalist

    Scouting ya Simba imefeli kufanya sajili nzuri kwa misimu miwili sasa.

    Miezi 8 nyuma Kassim Dewji alisema kuwa Simba SC haitumi njia sahihi kufanya usajili na wanahitaji mtaalam kwenye eneo hilo. Lakini alionekana anatengeneza migogoro. Leo ukiangalia usajili uliofanywa na Simba SC kwenye madirisha 2 yaliyopita zaidi ya 45% umefeli. Ukiangalia kuna ukweli ndani...
  10. Sports journalist

    Jeshi la Simba lililobeba matumaini ya Wanasimba hadharani

    Kikosi cha Simba kinatarajiwa kuondoka jioni ya leo kuelekea nchini Uganda kwa ajili ya mchezo wao wa raundi ya tatu dhidi ya Vipers. Simba kwenye kundi lao mpaka sasa hawana alama yoyote kwenye michezo miwili waliyocheza,wakifungwa yote huku wakiwa hawajafunga goli. Hivyo matarajio ya...
  11. Sports journalist

    Hakuna winga bora kwa sasa ndani ya ligi kuu kama Kipre jr

    Azam kwenye dirisha kubwa la usajili walifanya usajili hasa kuanzia golini mpaka mbele, walienda kule Ivory Coast na kumbeba winga fundi kipre Jr. Jamaa anajua kukaa na mpira mguuni,kuuficha,kukokota,kupiga chenga,ana nguvu, ukitaka acheze kama orthodox au inverted winger anaweza yaan kiufupi...
  12. Sports journalist

    Ushindi wa Yanga dhidi ya KMC leo ni ishara kwamba Simba wasahau ubingwa?

    Yanga jioni ya leo wameibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC,baada ya ushindi huo ni rasmi sasa yanga watakuwa kileleni kwa tofauti ya alama 8 dhidi ya mpinzani wake Simba. Yanga leo wamecheza kibingwa zaidi hawakuhitaji kucheza soka safi sana ila no kutafuta matokeo ya alama tatu. Kocha...
  13. Sports journalist

    Simba kujibu Maswali yote waliyoulizwa na Raja leo dhidi ya Azam?

    Simba baada ya kupokea kipigo kizito cha mabao 3-0 kutoka kwa Raja Casablanca Wikiendi iliyoisha,Leo watashuka dimbani kujiuliza tena dhidi ya Azam Simba hawakuwa na kiwango bora dhidi ya Raja,hawakuwa bora kwenye eneo la kiungo eneo ambalo ni ubongo wa timu matokeo yake safu ya ulinzi ikawa...
  14. Sports journalist

    Liverpool kufuta uteja mbele ya Madrid leo?

    Usiku wa leo itapigwa mchezo wa ligi ya Mabingwa ulaya kati ya Liverpool dhidi ya Real Madrid kwenye dimba la Anfield. Mchezo unaotazamiwa kuwa mkali na wakuvutia kutokana na ubora wa Liverpool kwa mechi za hivi karibuni na kurejea kwa baadhi ya nyota wao Van Djik, Jota na Firmino. Kwenye...
  15. Sports journalist

    Quality imeamua Mechi ya Simba Jana.

    Ubora wa kikosi cha Raja dhidi ya Simba ndo ulioamua matokeo yale pale kwa Mkapa. Walicheza very direct wakati wanamiliki mpira pasi ya kwanza ya pili wapo golini kwa Simba,walifanya Movements za kuifungua sana safu ya ulinzi ya Simba. Inonga mara nyingi alikuwa anatolewa kwenye eneo...
  16. Sports journalist

    Kila la kheri Mnyama

    Simba leo watashuka dimbani kwenye mchezo wao wa pili hatua ya makundi wakiwakaribisha Raja Casablanca kutoka Morocco. Simba wataingia wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Horoya Ac ugenini,hivyo ataingia akiwa anahitaji alama 3 muhimu kurudisha hali ya kujiamini...
  17. Sports journalist

    Mechi Dume

    Barcelona walianza vizuri sana kabla ya pedri kuumia kipindi cha kwanza,kivipi? Kwenye karatasi wameningia na 4-3-3,lakini wakati wanafanya build up nyuma wanabaki mabeki watatu(Kounde,Araujo na Alonso) wakati mbele yao kuna kuwa na Kessie na DeJong mbele tena kuna namba kumi wawili Pedri na...
  18. Sports journalist

    Mashabiki wetu wanahitaji zaidi hamasa kujaza uwanja

    Kuelekea michezo ya kimataifa Wikiendi hii,Simba na Yanga watakuwa uwanja wa Mkapa kuwakaribisha wapinzani wao. Simba wataanza siku ya jumamosi kuwakaribisha Raja Casablanca wakati Yanga watawakaribisha Tp Mazembe. Ili kufanikiwa kupata hamasa ya mchezaji wa 12 ambae ni shabiki, ni lazima...
  19. Sports journalist

    Pep aendeleza ubabe kwa Arteta

    MBINU MBINU MBINU..... Nani aliamini leo Guardiola ataingia na back 3, huku wingback wake wakiwa Mahrez na Grealish wakiwa na kazi kubwa ya kuwakabili Martinell na Saka, lakini Pep amefanya hivyo na kufanikiwa. City waliingia na 3-2-4-1,kwenye back 3 Dias,Walker na Ake juu yao kuna Rodri na...
  20. Sports journalist

    Arsenal, City kuamua hatma ya Ubingwa leo

    Majira ya saa 4:30 usiku wa leo kutakuwa na mbungi ya kuamua mbio za ubingwa kati ya Arsenal dhidi ya Man city katika dimba la Emirates. Mechi hiyo inatazamiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote mbili,huku wote wakiwa wanashindania ubingwa. Arsenal yupo kileleni kwa alama...