here we go ubaya ubwela nguvu moya
simba inakilakitu sasa wachezaji wapo na hali nzuri jezi no 17 ipo kwa mtu sahihi jean kweli ni MVP goli la kideo huyu awesu na barua ni watu kagoma anaonyesha kile nyuma mwiko wanakitaka zimbwe nilimuona no 2 kapombe 6 huyo fondo na hamza kamara hajapata on...