Simba wamejitahidi anachotakiwa kocha ni kuangalia zaidi madhaifu kwa safu zote I mean safu ya mabeki,safu ya katikati na safu na safu nyeti ya ushambuliaji because ligi ndo kwanza inaanza.pia mashabiki tupungunze jazba mambo mazuri hayahitaji haraka.💪💪💪💪Simba nguvu Moja 🦁🦁🦁🦁