Ni mchezaj mzur licha ya kuwa hakucheza mechi nying msimu uliopita bado anaonesha yuko fiti na ana uwezo wa kutosha. Azidi kupambana namb yanga anayocheza ni ngumu kupew nafas yeye, nafas aliyopew jana amefit vzur azid kukomaa taifa linahitaji wachezaj wa kulipeleka mbel gurudum la mpir