Search results

  1. M

    Eti Wana Kijiweni Kwanini Ni Simba vs Yanga Na Sio Yanga vs Simba

    Hii Imekuwa kama tamaduni tu kwasababu Simba ni mkuu Kwa Yanga katika Suala la football apa Bongo na ndo mkuu wa Derby, ko ndo hvoo,, Simba na Yanga
  2. M

    Kwa Kauli Hii Ya MWIGULU NCHEMBA Wewe Una Maoni Gani?

    Yaan huyu kijana ana moyo wa kujituma na kupambana akiwa kwenye Clab yake na Timu ya Taifa, akipata Clab kubwa ya nje ni vyema zaidiiiii. Akatuwakilishee
  3. M

    Kwa Kauli Hii Ya MWIGULU NCHEMBA Wewe Una Maoni Gani?

    Hilo ni kweli mkuu, kijana ana uwezo na kujituma saana
  4. M

    FULL TIME : GUINEA 1 TANZANIA 2 | Leo Mna Lipi La Kuzungumza WAZALENDO?

    Daah aisee Leo ni siku ya Shangwee sana Kwa Sisi Watanzania,, Sina bud kutoa shukran kubwa Kwa Viungo wetu machachari: Fey na Mdathir 💯💯,, Guinea ndo kama anatupa ka nafasi hvii😅😅