Search results

  1. S

    Tukio Gani Ushawahi Kukutana Nalo Kwenye Viwanja Kama Hivi Likakuacha Hoi?

    Nakumbuka ulipigwa mpira halafu kuachana nyavu ukapita pembeni ya goli halafu ukaingia ndani,kukawa na utata km goli au sio goli na mm ndio nilikua nyuma ya goli...Basi nikaona wahuni wanakuja na mapanga kuja kuniuliza mm,weee nikasema watu sio wajinga,nilishika viatu vyangu mkononi halafu...
  2. S

    Kwa Kauli Hii Ya MWIGULU NCHEMBA Wewe Una Maoni Gani?

    Amsaidie tuu kufikia malengo yake asiishie kwenye kuitana mwanangu tuu.
  3. S

    Eti Wana Kijiweni Kwanini Ni Simba vs Yanga Na Sio Yanga vs Simba

    Hii inasemwa au kutamkwa hvyo kutokana na kufuata mtiririko wa herufi za mwanzo za timu zinavyoanza na ndio maana hata akicheza na Azam,utasikia leo mechi kati ya Azam na Simba. Asante