Jamaa waliingia uwanjani na njiwa wawili kabla ya mechi kuanza mganga wao aliwambia wawapeperushe hao njiwa wakiwa ktkat ya dimba kabla hawajafanya jambo lao wapinzani wao wakawawai wakawawai wakawakanyaga kanyaga njiwa uwanja wote ukazagaa manyoya na walikula chuma mbili kwa sifuri