‘KIMANDOO’ YANGA AFUNGIWA KWA KUMJERUHI MCHEZAJI WA PRISONS.

vuligate

Mgeni
Dec 17, 2021
395
3
5
1641102188351.png
SHABIKI wa Yanga SC, Ramadhani Molinga amefungiwa kuingia kwenye viwanja vya mpira kwa soka la kumpiga na kumjeruhi mchezaji wa Tanzania Prisons, Salum Kimenya.