Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Soka la Afrika (CAF)
AFCON Thread
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="vuligate" data-source="post: 329" data-attributes="member: 123"><p><h3>CAMEROON YAICHAPA BURKINA FASO 2-1 UFUNGUZI AFCON.</h3><p>[ATTACH=full]233[/ATTACH]</p><p></p><p>WENYEJI, Cameroon wameanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kutoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Burkina Faso katika mchezo wa Kundi A jioni ya leo Uwanja wa Paul Biya Jijini Yaounde.</p><p>Mabao yote ya Cameroon yamefungwa na mshambuliaji wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Vincent Aboubakar kwa penalti dakika ya 40 na 45 baada ya Burkina Faso kutangulia kwa bao Gustavo Sangare dakika ya 25. </p><p>Mechi nyingine ya Kundi A leo, bao pekee la Júlio Tavares dakika ya 45 na ushei liliwapa Cape Verde ushindi wa 1-0 dhidi ya Ethiopia hapo hapo Uwanja wa Paul Biya.</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="vuligate, post: 329, member: 123"] [HEADING=2]CAMEROON YAICHAPA BURKINA FASO 2-1 UFUNGUZI AFCON.[/HEADING] [ATTACH type="full"]233[/ATTACH] WENYEJI, Cameroon wameanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kutoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Burkina Faso katika mchezo wa Kundi A jioni ya leo Uwanja wa Paul Biya Jijini Yaounde. Mabao yote ya Cameroon yamefungwa na mshambuliaji wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Vincent Aboubakar kwa penalti dakika ya 40 na 45 baada ya Burkina Faso kutangulia kwa bao Gustavo Sangare dakika ya 25. Mechi nyingine ya Kundi A leo, bao pekee la Júlio Tavares dakika ya 45 na ushei liliwapa Cape Verde ushindi wa 1-0 dhidi ya Ethiopia hapo hapo Uwanja wa Paul Biya. [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Soka la Afrika (CAF)
AFCON Thread
Top
Bottom