Baadhi ya watu watakuwa na kazi ya kumlaumu kocha mpya lakini uongozi wa Simba unawajibika kwa asilimia 80+ kwa kushindwa kwao wenyewe
Wao walifanya takribani wachezaji tisa (9) waliosajiliwa majira ya kiangazi iliyopita lakini Phiri pekee ndiye aliyefanya vizuri.
Siwezi kumlaumu Robertinho, ni vigumu sana kumhukumu kocha mpya baada ya mechi zisizozidi 10.
You can't finish a season with 3 different coaches, Simba haikua na matokeoa mabaya sana kihivyo mpaka kufikia hatua ya kuwa na makocha wa 3 ndani ya msimu mmoja.
Mgunda aliwapeleka CCL hatua ya makundi na gap la point kwenye ligi halikua kubwa , it's a poor management nothing else.

Wao walifanya takribani wachezaji tisa (9) waliosajiliwa majira ya kiangazi iliyopita lakini Phiri pekee ndiye aliyefanya vizuri.
Siwezi kumlaumu Robertinho, ni vigumu sana kumhukumu kocha mpya baada ya mechi zisizozidi 10.
You can't finish a season with 3 different coaches, Simba haikua na matokeoa mabaya sana kihivyo mpaka kufikia hatua ya kuwa na makocha wa 3 ndani ya msimu mmoja.
Mgunda aliwapeleka CCL hatua ya makundi na gap la point kwenye ligi halikua kubwa , it's a poor management nothing else.
