BARCELONA KUMENYANA NA NAPOLI EUROPA LEAGUE

Mkwavinyika

Administrator
Staff member
Dec 2, 2021
49
9
26
Dar es Salaam
AVvXsEiwUl73A1ZZ0IsDGMByl7WYxSTSpKhtlsbEfb-udF7AoYbf6kHsUeTGZysmLlCsXgnSiixE0bEz8wLjvXtsniBOsVIOT0wz00wSt9DICQ6M_4jTSOWaRMTz_gZwtc261Rf8Bu4TIFzrDm1Xc0-6Fhi0rRL3XQJt2eHxvNlhBi8awdJBocKUtt_OrUQK=s16000


MABINGWA wa zamani wa Ulaya, Barcelona watamenyana na Napoli katika mechi za mchujo za UEFA Europa League baada ya kutolewa katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Barcelona wamejikuta katika Europa League kwa mara ya kwanza tangu msimu wa 2003-04, baada ya kumaliza nafasi ya tatu kwenye kundi lake Ligi ya Mabingwa nyuma ya Bayern Munich na Benfica.

Mechi za kwanza zitachezwa Februari 17 na marudiano Februari 14 mwakani, wakati droo ya 16 Bora itapangwa na Februari 25 na mechi za kwanza za hatua hiyo zitafuatia Macha 10 na marudiano Mechi 17, mwaka 2022.