BEKI CHIPUKIZI MTANZANIA ASAJILIWA LIGI KUU SERBIA

Amir

Mgeni
Dec 10, 2021
736
12
5
tanzania
AVvXsEj9R_SuMwRUVV7Q97lmfsJ9Q0wa7SKl8UJPYRokf5Jak_NfT041WqnWzMwFQe3L4G0tyVCMf3X-wits2G9PFoBaR4V6u6WXEBgR6NhEAEOkgafUx_tbKmZ3bcgzikAJiIbE64DwbBFVJKZUUstbHHrsVr-R19zmr9tqfnF5svFdOkgquUlfC9O2XW6N=w640-h618

BEKI chipukizi Mtanzania, Alphonce Mabula Msanga amesajiliwa na Klabu ya Spartak Seubotica ya Serbia kwa Mkataba wa miaka minne na nusu.
Mabula mwenye umri wa miaka 18 sasa, aliibukia timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys na akacheza Fainali za Vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) mwaka 2019 zilizofanyika hapa nchini kabla ya kupandishwa timu ya vijana U20.