Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Chama Anasajiliwa Yanga Kwa Ajili Ya Kuuza Jezi Na Kuongeza Tu Umaarufu Wa Brand Ya Yanga
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Gamondi" data-source="post: 5948" data-attributes="member: 2313"><p>Ukweli hawezi kuwa na nafasi kubwa kwa uchezaji wa yanga labda kama ataingia kwenye mfumo wao kitu ambacho ni kigumu.</p><p></p><p>Yanga wanamchukua kwa ajili ya kuuza jezi tu.Wako kimkakati sana.Huyu hata akibaki Simba hawezi kuwa na utofauti sana na tulivyo muona msimu huu ulioisha.</p><p></p><p>Yanga wanapata sifa kupitia mgongo wa Simba kwani kila ikitajwa Simba wao ndio wanasikika Afrika.Ndio maana waliwekeza sana kwenye kuhakikisha wanaifunga Simba kwa idadi kubwa ya magoli,na wakifanya chochote lazima Simba itajwe ila kwa udhaifu.</p><p></p><p>Hii ni mikakati kwani yanga walijisikia vibaya kuambiwa wao ni timu nzuri ila ni second club kwa Simba.</p><p></p><p>Sasa vita yao wanataka wawe club namba moja ndani na nje.</p><p></p><p>Kutokana na udhaifu wa uongozi wa Simba,hili wanafanikiwa kwa kasi sana huku wakisaidiwa na viongozi wa hovyo wa Simba kama yule mzee pandikizi na maswahiba wenzake akina rage na kaduguda wanaoitamani Simba kwa faida za matumbo yao</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Gamondi, post: 5948, member: 2313"] Ukweli hawezi kuwa na nafasi kubwa kwa uchezaji wa yanga labda kama ataingia kwenye mfumo wao kitu ambacho ni kigumu. Yanga wanamchukua kwa ajili ya kuuza jezi tu.Wako kimkakati sana.Huyu hata akibaki Simba hawezi kuwa na utofauti sana na tulivyo muona msimu huu ulioisha. Yanga wanapata sifa kupitia mgongo wa Simba kwani kila ikitajwa Simba wao ndio wanasikika Afrika.Ndio maana waliwekeza sana kwenye kuhakikisha wanaifunga Simba kwa idadi kubwa ya magoli,na wakifanya chochote lazima Simba itajwe ila kwa udhaifu. Hii ni mikakati kwani yanga walijisikia vibaya kuambiwa wao ni timu nzuri ila ni second club kwa Simba. Sasa vita yao wanataka wawe club namba moja ndani na nje. Kutokana na udhaifu wa uongozi wa Simba,hili wanafanikiwa kwa kasi sana huku wakisaidiwa na viongozi wa hovyo wa Simba kama yule mzee pandikizi na maswahiba wenzake akina rage na kaduguda wanaoitamani Simba kwa faida za matumbo yao [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Chama Anasajiliwa Yanga Kwa Ajili Ya Kuuza Jezi Na Kuongeza Tu Umaarufu Wa Brand Ya Yanga
Top
Bottom