CHARLES HILLARY ATEULIWA MKURUGENZI MAWASILIANO IKULU ZENJI.

vuligate

Mgeni
Dec 17, 2021
395
3
5
1640936621838.png

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua mtangazaji nguli wa mpira, Charles Martin Hillary kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu visiwani humo.
1640937016047.png