Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Biriani la Ulaya
Chelsea Ni Ile Ile ya msimu huu haijabadilika
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Brenda" data-source="post: 3371" data-attributes="member: 464"><p>Chelsea Ni Ile Ile ya msimu huu haijabadirika haitengenezi nafasi haina team work wachezaji wazuri wenye majina makubwa Ila wameshindwa kuwa na form moja </p><p></p><p>Wanafika kwenye Boks Ila hawatengenezi nafasi za kufunga tumpongeze Ward Mana ikitokea faulo kwa Southampton huyu jamaa amekuwa Kama hiyo mipira kazaliwa nayo anafunga tu hizo faulo.</p><p>Kocha wa Chelsea nitamlaumu kushindwa kuifanya team itengeneze nafasi za kufunga hawatengenezi wanafika mbele sio kwa Ile munkari ya kwenda kushinda Ila wanasogea na kurudi Hakuna zile nafasi ambazo zingewapa magoli.</p><p></p><p>Chelsea haiko imara Idara zote kila mchezaji anacheza anachokijua nikama team isiyo na Mwalimu.</p><p></p><p>[ATTACH=full]1238[/ATTACH]</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Brenda, post: 3371, member: 464"] Chelsea Ni Ile Ile ya msimu huu haijabadirika haitengenezi nafasi haina team work wachezaji wazuri wenye majina makubwa Ila wameshindwa kuwa na form moja Wanafika kwenye Boks Ila hawatengenezi nafasi za kufunga tumpongeze Ward Mana ikitokea faulo kwa Southampton huyu jamaa amekuwa Kama hiyo mipira kazaliwa nayo anafunga tu hizo faulo. Kocha wa Chelsea nitamlaumu kushindwa kuifanya team itengeneze nafasi za kufunga hawatengenezi wanafika mbele sio kwa Ile munkari ya kwenda kushinda Ila wanasogea na kurudi Hakuna zile nafasi ambazo zingewapa magoli. Chelsea haiko imara Idara zote kila mchezaji anacheza anachokijua nikama team isiyo na Mwalimu. [ATTACH type="full"]1238[/ATTACH] [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Biriani la Ulaya
Chelsea Ni Ile Ile ya msimu huu haijabadilika
Top
Bottom