Baada ya maombi ya muda mrefu ya Mashabiki wa Manchester United juu ya Wamiliki wa timu hiyo ambao ni familia ya Glazers waiuze timu hiyo, hatimae Glazers wapo tayari kusikiliza ofa ili kuipiga bei timu hiyo yenye idadi kubwa ya Mashabiki duniani.
Baada ya maombi ya muda mrefu ya Mashabiki wa Manchester United juu ya Wamiliki wa timu hiyo ambao ni familia ya Glazers waiuze timu hiyo, hatimae Glazers wapo tayari kusikiliza ofa ili kuipiga bei timu hiyo yenye idadi kubwa ya Mashabiki duniani.