Ten Hag: "Goli zuri. Yalikuwa ni mashambulizi mazuri kuanzia kwa David de Gea, Bruno [Fernandes], Ronny [Ronaldo] alipoutoa kwenye upande wa winga na ulikuwa ni umaliziaji bora kabisa.”
"Tulihitaji mibadala. Antony hayupo, Martial hayupo, Sancho hayupo. Nimefurahia alivyocheza, alikuwa hatari, alikuwa vizuri kwenye kuzuia. Akiendelea hivi basi atanifurahisha."
"Tulihitaji mibadala. Antony hayupo, Martial hayupo, Sancho hayupo. Nimefurahia alivyocheza, alikuwa hatari, alikuwa vizuri kwenye kuzuia. Akiendelea hivi basi atanifurahisha."