Kiukweli tumeangaika mda mrefu sana bila mafanikio nadhani huu ndo muda wa kurudisha heshima yetu sifa zote apewe uyu mwamba taratibu wataelewa kuna kale kamsemo Ambangile anasema "Tutawashangaza"
Muangalie Varane na Martinez...Afu kumbuka Maguire na Lindelof
Muangalie Casemiro na Eriksen/Fred...af kumbuka Tommy na Fred/Pogba
Mnakumbuka show za Maguire
Mnakumbuka enzi Rashford ana msongo wa mawazo
Mnakumbuka kipindi Ole hasomeki
Mnakumbuka matusi ya cr7
Mnakumbuka kejeli za Pogba

Muangalie Varane na Martinez...Afu kumbuka Maguire na Lindelof
Muangalie Casemiro na Eriksen/Fred...af kumbuka Tommy na Fred/Pogba
Mnakumbuka show za Maguire
Mnakumbuka enzi Rashford ana msongo wa mawazo
Mnakumbuka kipindi Ole hasomeki
Mnakumbuka matusi ya cr7
Mnakumbuka kejeli za Pogba
