Reply to thread

Simba wanacheza vizur ila Kuna vitu wanapaswa kuongeza


Wajue muda wa kumtafta  mpinzani

Wajue wakati wakutuliza timu

Wajue namna ya kulazmisha ili kupata matokeo

Wajue namna ya kutorudisha mpira nyuma wakati sahihi si kila muda




Timu ndogo zijue namna ya kupambana na timu kubwa hizi siyo kujiandaa kibondia badala yake zijiandae ki mchezo


Namungo wangetulia wangeweza kupata sare kutokana na ubora waoh na mchezo zaidi


Yote na yote ni mchezo mzur na Simba itabaki kuwa simba


Kwani 1 + 1 = ni ngapi?