HEMED MOROCCO AACHANA NA NAMUNGO FC

vuligate

Mgeni
Dec 17, 2021
395
3
5
1640507036761.png

KOCHA Mzanzibari, Hemed Suleiman ‘Morocco’ ameamua kuachana na klabu ya Namungo FC baada ya misimu miwili ya kuiongoza kwa mafanikio.