Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Biriani la Ulaya
Hii Game ilishaisha kabisa Uzembe wetu na utoto mwingi
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Brenda" data-source="post: 3353" data-attributes="member: 464"><p>Hii game ilishaisha kabisa. </p><p></p><p>Ukweli ni kwamba Kwa yoyote alieona hii game tulianza dharau Baada ya kupata goli la pili,pasi za kistaa wakati goli Moja halina dhamana ujinga tu.</p><p></p><p> Tungecheza hii game kama bado Tupo nyuma ilikua ni historia nzuri sana Leo. Man U yashinda Kwa mara ya kwanza Nou Camp chini ya kocha mpya</p><p></p><p>Timu imejitaidi sana, kulingana na wachezaji tulionao.</p><p></p><p>Inaonyesha dhahiri still tunashida ya kuzuia defence Bado Kwa united</p><p>Defence ya Barca iko uchi sana tungempata mtu wa calliber ya Rashford basi tungeweza wasumbua sana leo</p><p></p><p>Hawa Barca wakawaida sanaaaaaa mpk wanalazimisha cross wafunge</p><p></p><p>Ila waarabu wamlete Mbape OT mana collabo lake na Rashid litakuwa <img class="smilie smilie--emoji" loading="lazy" alt="🔥" title="Fire :fire:" src="https://cdn.jsdelivr.net/joypixels/assets/7.0/png/unicode/64/1f525.png" data-shortname=":fire:" /></p><p></p><p>Tukutane kwenye matofali ya kuchoma <img class="smilie smilie--emoji" loading="lazy" alt="⚽" title="Soccer ball :soccer:" src="https://cdn.jsdelivr.net/joypixels/assets/7.0/png/unicode/64/26bd.png" data-shortname=":soccer:" />️<img class="smilie smilie--emoji" loading="lazy" alt="❤️" title="Red heart :heart:" src="https://cdn.jsdelivr.net/joypixels/assets/7.0/png/unicode/64/2764.png" data-shortname=":heart:" /></p><p></p><p>[ATTACH=full]1232[/ATTACH]</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Brenda, post: 3353, member: 464"] Hii game ilishaisha kabisa. Ukweli ni kwamba Kwa yoyote alieona hii game tulianza dharau Baada ya kupata goli la pili,pasi za kistaa wakati goli Moja halina dhamana ujinga tu. Tungecheza hii game kama bado Tupo nyuma ilikua ni historia nzuri sana Leo. Man U yashinda Kwa mara ya kwanza Nou Camp chini ya kocha mpya Timu imejitaidi sana, kulingana na wachezaji tulionao. Inaonyesha dhahiri still tunashida ya kuzuia defence Bado Kwa united Defence ya Barca iko uchi sana tungempata mtu wa calliber ya Rashford basi tungeweza wasumbua sana leo Hawa Barca wakawaida sanaaaaaa mpk wanalazimisha cross wafunge Ila waarabu wamlete Mbape OT mana collabo lake na Rashid litakuwa 🔥 Tukutane kwenye matofali ya kuchoma ⚽️❤️ [ATTACH type="full"]1232[/ATTACH] [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Biriani la Ulaya
Hii Game ilishaisha kabisa Uzembe wetu na utoto mwingi
Top
Bottom