a
M McRay Mgeni Nov 4, 2022 185 131 5 Jan 4, 2023 #2 JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Hii manchester baada ya game 3 inakuwa kweny kinyang’anyiro cha ubingwa Sema tunakuwa hatutak ubingwa
JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Hii manchester baada ya game 3 inakuwa kweny kinyang’anyiro cha ubingwa Sema tunakuwa hatutak ubingwa
J jamal Mgeni Nov 4, 2022 148 90 5 Jan 4, 2023 #3 JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Pale mbele kwa Martial kunatunyim ubingwa Yeye Aendelee hivyohivyo na ujinga wake..Rashford na Garnacho na Casemiro watafunga Ten Hag ana uwezo wa kuwafanya wachezaji kuwa bora. Apewe muda, asipewe presha
JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Pale mbele kwa Martial kunatunyim ubingwa Yeye Aendelee hivyohivyo na ujinga wake..Rashford na Garnacho na Casemiro watafunga Ten Hag ana uwezo wa kuwafanya wachezaji kuwa bora. Apewe muda, asipewe presha
L Lukac Mgeni Nov 4, 2022 120 83 5 Jan 4, 2023 #4 JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Ubingwa unaongeleka kirahisi hivi
N Nabi Mgeni Nov 4, 2022 121 124 5 Jan 4, 2023 #5 JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Tangu warejee kutoka kombe la dunia mechi tatu points 9 goli 7 cleansheet 3. Safi kabisa hii
JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Tangu warejee kutoka kombe la dunia mechi tatu points 9 goli 7 cleansheet 3. Safi kabisa hii
R Rashidi Mgeni Dec 13, 2022 56 40 5 Jan 4, 2023 #6 JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Akiweza kupiga City na Arsenal ntaamini huyu ni mwamba
JohBwax said: View attachment 1003a Click to expand... Akiweza kupiga City na Arsenal ntaamini huyu ni mwamba