KUTOKA AZAM COMPLEX MPAKA KUCHEZA UEFA

Hammy36

Guest
Jan 17, 2023
77
82
25
Dar Es Salaam
KUTOKA AZAM COMPLEX MPAKA KUCHEZA UEFA
ooovaa.jpeg

KIUNGO wa Kimataifa wa Tanzania, Novatus Dismas Miroshi (20) amejiunga na klabu ya FC Shakhtar Donetsk ya Ukraine akitokea Zulte Waregem ya Ubelgiji.
Baada ya kuibukia katika akademi ya Azam FC, Miroshi alichezea Biashara United katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kabla ya kwenda Israel mwaka 2021 ambako alichezea timu za vijana za Maccabi Tel Aviv na Beitar Tel Aviv Bat Yam hadi mwaka jana alipouzwa Ubelgiji.