Kwa hili la Messi kuchukua ubingwa nimefurahi kitu kimoja, kuzikwa rasmi kwa utawala wa Maradona, kwangu Mimi Maradona was Over and overrated dhidi ya Messi na soka jumla, Maradona matukio yake yote makubwa yanaonekana within only three matches,wewe yataje utaona hilo.Wakawa wanamuweka Mbele ya Messi kwa kushindwa kutwaa tu kombe la dunia.Kwa sasa zikiwekwa takwimu Maradona atakuwa kama kikombe cha Kahawa na Messi ni Pipa