LALIGA WAIPONGEZA YANGA

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
"Laliga inayo toa pongeza za dhati kwa klabu ya YANGA SC kwa kuwa klabu ya kwanza kufikia rekodi ya kutokufungwa katika mechi 49 za ligi kuu ya Tanzania.

Hii ni rekodi pekee Tanzania na ukanda wa afrika mashariki na kati.
Hongera sana WANANCHI."
6dc90fad-5912-41b6-bd86-b28d52b0c083.jpg