Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Ligi Kuu Thread
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Amir" data-source="post: 1055" data-attributes="member: 20"><p><h3>YANGA SC YAWAPIGA MTIBWA 2-0 MANUNGU</h3><p><img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjSuR8Sy-JPOwLYPQRHTSUVoXu1FMhwrJw6GLAmUV93rgUewRkRbPIzJwjAe0LrlJQbsX__E528ZTVqeONlAhIObQ42EH1mKJMOt1bU_6ycLjSjUgegH7i8z89_pNV6PdGlGOX4uIa34_cNBo2Hd5rwvWwQ8bJmOCUmFP86eB76h-gNmCaQeCVQ2KYx=w640-h614" alt="" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p></p><p>VIGOGO, Yanga SC wamekamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar jioni ya leo Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro.</p><p>Mabao ya Yanga leo yamefungwa na kiungo Mrundi, Saido Ntibanzonkiza dakika ya 45 na ushei na mshambuliaji Mkongo, Fiston Kalala Mayele dakika ya 66.</p><p>Kwa ushindi huo, Yanga inakamilisha mechi 15 za mzunguko wa kwanza wa ligi na pointi 39, nane zaidi ya mabingwa watetezi, Simba SC ambao pia wamecheza mechi 15.</p><p>Mtibwa Sugar baada ya kipigo cha kwanza nyumbani, Manungu msimu huu wanabaki na pointi zao 12 za mechi 15 nafasi ya 15 Ligi ya timu 16, ambayo mwishowe mbili zitateremka moja kwa moja na mbili kwenda kumenyana na timu za Championship kuwania kusalia Ligi Kuu.</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Amir, post: 1055, member: 20"] [HEADING=2]YANGA SC YAWAPIGA MTIBWA 2-0 MANUNGU[/HEADING] [IMG]https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjSuR8Sy-JPOwLYPQRHTSUVoXu1FMhwrJw6GLAmUV93rgUewRkRbPIzJwjAe0LrlJQbsX__E528ZTVqeONlAhIObQ42EH1mKJMOt1bU_6ycLjSjUgegH7i8z89_pNV6PdGlGOX4uIa34_cNBo2Hd5rwvWwQ8bJmOCUmFP86eB76h-gNmCaQeCVQ2KYx=w640-h614[/IMG] VIGOGO, Yanga SC wamekamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar jioni ya leo Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Mabao ya Yanga leo yamefungwa na kiungo Mrundi, Saido Ntibanzonkiza dakika ya 45 na ushei na mshambuliaji Mkongo, Fiston Kalala Mayele dakika ya 66. Kwa ushindi huo, Yanga inakamilisha mechi 15 za mzunguko wa kwanza wa ligi na pointi 39, nane zaidi ya mabingwa watetezi, Simba SC ambao pia wamecheza mechi 15. Mtibwa Sugar baada ya kipigo cha kwanza nyumbani, Manungu msimu huu wanabaki na pointi zao 12 za mechi 15 nafasi ya 15 Ligi ya timu 16, ambayo mwishowe mbili zitateremka moja kwa moja na mbili kwenda kumenyana na timu za Championship kuwania kusalia Ligi Kuu. [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Ligi Kuu Thread
Top
Bottom