Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Ligi Kuu Thread
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Amir" data-source="post: 1081" data-attributes="member: 20"><p><h3>GEITA, NAMUNGO ZAFUNGUA MZUNGUKO WA PILI KWA SARE</h3><p><img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiz7bYdRGiaEvVqmUHJCnsyfMKwxf2W6isbaCOZNuIra1qeKmDVZdj5kL6eCDKXw1mYxGBJvy2bIxpAcUy3H-mskoKQaB5QpRm-K24FDc-cPnCwmIvznq_2L1EI2LqRiMuYGZdO7oF4I5K__6I4IhEgaSU9JDym_f4cgsLKO8WMePgTgEsfZz85Shm0=w640-h480" alt="" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p>WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa kwanza kabisa wa duru la pili Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Nyankumbu mjini Geita.</p><p>Geita Gold walitangulia kwa bao la George Mpole dakika ya 73, hilo likiwa bao lake la nane la msimu, kabla ya Iddi Farjala kuisawazishia Namungo FC dakika ya 84.</p><p>Kwa sare hiyo, Namungo FC inafikisha pointi 24 katika mchezo wa 16, ikizidiwa wastani wa mabao tu na Azam FC zikifuatana nafasi ya tatu na ya nne, wakati Geita Gold inafikisha pointi 21 mechi 16 nafasi ya sita.</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Amir, post: 1081, member: 20"] [HEADING=2]GEITA, NAMUNGO ZAFUNGUA MZUNGUKO WA PILI KWA SARE[/HEADING] [IMG]https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiz7bYdRGiaEvVqmUHJCnsyfMKwxf2W6isbaCOZNuIra1qeKmDVZdj5kL6eCDKXw1mYxGBJvy2bIxpAcUy3H-mskoKQaB5QpRm-K24FDc-cPnCwmIvznq_2L1EI2LqRiMuYGZdO7oF4I5K__6I4IhEgaSU9JDym_f4cgsLKO8WMePgTgEsfZz85Shm0=w640-h480[/IMG] WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa kwanza kabisa wa duru la pili Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Nyankumbu mjini Geita. Geita Gold walitangulia kwa bao la George Mpole dakika ya 73, hilo likiwa bao lake la nane la msimu, kabla ya Iddi Farjala kuisawazishia Namungo FC dakika ya 84. Kwa sare hiyo, Namungo FC inafikisha pointi 24 katika mchezo wa 16, ikizidiwa wastani wa mabao tu na Azam FC zikifuatana nafasi ya tatu na ya nne, wakati Geita Gold inafikisha pointi 21 mechi 16 nafasi ya sita. [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Ligi Kuu Thread
Top
Bottom