Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Ligi Kuu Thread
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Amir" data-source="post: 1092" data-attributes="member: 20"><p><h3>MBEYA CITY YAICHOMOLEA PRISONS JIONI KABISA, 1-1</h3><p><img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgwztlKVj2UubrsDTSfEqxyekSNJrVbOIhTNwj1Z0VhTj4-3SrtL-SiOzLouoh9hYeWm3s4aR8XCn-A2FEZgclqQpb9-A_xo-WwoubJ2kw0SMP1P9j36ayalXKyO7UyxfvqP2VAm9vfTwpKEoDrPbcRzYt-TsvlXYGHk1m5QNaNSPMQZtdkMMtLXGOd=w640-h456" alt="" class="fr-fic fr-dii fr-draggable " style="" /></p><p>TIMU za Tanzania Prisons na Mbeya City zimegawana pointi baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.</p><p>Adili Buha alianza kuifungia Prisons dakika ya saba, kabla ya Ssemuju Joseph kuisawazishia Mbeya City dakika ya 86.</p><p>Kwa sare hiyo, Mbeya City inafikisha pointi 24 katika mchezo wa 16, ingawa inabaki nafasi ya tano, ikizidiwa tu wastani wa mabao na Azam FC ambayo pia ina mechi moja mkononi.</p><p>Hali ni mbaya kwa Tanzania Prisons ambayo baada ya sare ya leo inafikisha pointi 12 katika mchezo wa 16 na kuendelea kuzibeba timu nyingine 15 kwenye Ligi Kuu.</p><p>Mechi iliyotangulia mchana wa leo, wenyeji, Ruvu Shooting wamelazimishwa sare ya 1-1 pia na Dodoma Jiji FC Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.</p><p>Waziri Junior alianza kuifungia Dodoma Jiji dakika ya 11, kabla ya Abrahman Mussa kuisawazishia Ruvu Shooting dakika ya 58.</p><p>Ruvu Shooting inafikisha pointi 16 katika mchezo wa 16 na kurejea nafasi ya 12, wakati Dodoma Jiji wanafikisha pointi 18 katika mchezo wa 16 na kusogea nafasi ya 10.</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Amir, post: 1092, member: 20"] [HEADING=2]MBEYA CITY YAICHOMOLEA PRISONS JIONI KABISA, 1-1[/HEADING] [IMG]https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgwztlKVj2UubrsDTSfEqxyekSNJrVbOIhTNwj1Z0VhTj4-3SrtL-SiOzLouoh9hYeWm3s4aR8XCn-A2FEZgclqQpb9-A_xo-WwoubJ2kw0SMP1P9j36ayalXKyO7UyxfvqP2VAm9vfTwpKEoDrPbcRzYt-TsvlXYGHk1m5QNaNSPMQZtdkMMtLXGOd=w640-h456[/IMG] TIMU za Tanzania Prisons na Mbeya City zimegawana pointi baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Adili Buha alianza kuifungia Prisons dakika ya saba, kabla ya Ssemuju Joseph kuisawazishia Mbeya City dakika ya 86. Kwa sare hiyo, Mbeya City inafikisha pointi 24 katika mchezo wa 16, ingawa inabaki nafasi ya tano, ikizidiwa tu wastani wa mabao na Azam FC ambayo pia ina mechi moja mkononi. Hali ni mbaya kwa Tanzania Prisons ambayo baada ya sare ya leo inafikisha pointi 12 katika mchezo wa 16 na kuendelea kuzibeba timu nyingine 15 kwenye Ligi Kuu. Mechi iliyotangulia mchana wa leo, wenyeji, Ruvu Shooting wamelazimishwa sare ya 1-1 pia na Dodoma Jiji FC Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani. Waziri Junior alianza kuifungia Dodoma Jiji dakika ya 11, kabla ya Abrahman Mussa kuisawazishia Ruvu Shooting dakika ya 58. Ruvu Shooting inafikisha pointi 16 katika mchezo wa 16 na kurejea nafasi ya 12, wakati Dodoma Jiji wanafikisha pointi 18 katika mchezo wa 16 na kusogea nafasi ya 10. [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Ligi Kuu Thread
Top
Bottom