Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Mambo 5 Niliyoyaona kwenye Video Clip ya Mabao Mawili Safi Kabisa na Yasiyo na Utata ya Simba huko Misri Leo
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Hammy36" data-source="post: 16214" data-attributes="member: 617"><p>1.Dua kubwa na nzito inatakiwa kufanyika kuwalinda wachezaji wetu, narudia kama hakuna Dua wachezaji Hawa wakitua uwanja wa Ndege tu wakati wanarudi wameyakanyaga, asikwambie mtu Utopolo hawana wanachokitegemea zaidi ya kuwategeshea miba.Uwanja wa Bunju hadi wanakokaa wachezaji walindwe kwa Dua, haiwezekani wachezaji waletwe wakiwa wazuri huko kwao wakiingia Tanzania tu hawana uwezo dimbani, hili tatizo litatuliwe.</p><p></p><p>2. Yule mwarabu wa Kenya aliyefunga bao la kwanza ule muwa alioutandika, sijui itakuwaje, winga yeye winga Mpanzu, hakyamungu Yanga akitufunga safari hii ndani ya uongozi kutakuwa na kidudu mtu sio Bure.</p><p></p><p>3. Mshambuliaji hatari duniani Jonathan Sowah kwa mabeki wale akina Job, nasema Msimu huu kazi IPO labda wachezaji warogwe na viongozi wachukulie kawaida TU.Sowah mkatili sana.</p><p></p><p>4.Nimemuona Mpanzu Leo akidambua dambua, dah Simba day lini jamani</p><p></p><p>5.Kama wametuomba mechi ya kirafiki wajibuni tu tunaogopa nini?</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Hammy36, post: 16214, member: 617"] 1.Dua kubwa na nzito inatakiwa kufanyika kuwalinda wachezaji wetu, narudia kama hakuna Dua wachezaji Hawa wakitua uwanja wa Ndege tu wakati wanarudi wameyakanyaga, asikwambie mtu Utopolo hawana wanachokitegemea zaidi ya kuwategeshea miba.Uwanja wa Bunju hadi wanakokaa wachezaji walindwe kwa Dua, haiwezekani wachezaji waletwe wakiwa wazuri huko kwao wakiingia Tanzania tu hawana uwezo dimbani, hili tatizo litatuliwe. 2. Yule mwarabu wa Kenya aliyefunga bao la kwanza ule muwa alioutandika, sijui itakuwaje, winga yeye winga Mpanzu, hakyamungu Yanga akitufunga safari hii ndani ya uongozi kutakuwa na kidudu mtu sio Bure. 3. Mshambuliaji hatari duniani Jonathan Sowah kwa mabeki wale akina Job, nasema Msimu huu kazi IPO labda wachezaji warogwe na viongozi wachukulie kawaida TU.Sowah mkatili sana. 4.Nimemuona Mpanzu Leo akidambua dambua, dah Simba day lini jamani 5.Kama wametuomba mechi ya kirafiki wajibuni tu tunaogopa nini? [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Mambo 5 Niliyoyaona kwenye Video Clip ya Mabao Mawili Safi Kabisa na Yasiyo na Utata ya Simba huko Misri Leo
Top
Bottom