Maguire kacheza Vizuri sana wadau, tumpe sifa anayostahili anapofanya Vizuri, alituokoa Na block moja ingepita sidhani kama De Gea angedaka
De Gea nae alituokoa bao moja la kichwa sijui ilikuwa kona ile amefanya Vizuri, kwa Mara ya kwanza nimeona De Gea footwork iki improve.
Casemiro ndio Backbone ya Team kwa sasa, Spanish Teams zilikuwa zinatusumbua kwa sababu tukipata mpira ilikuwa tunarukaruka unarudi kwao tena, Casemiro anaituliza team, pia south America players wanajua sana kukaa Na mpira Na kutuliza team wanatusaidia
Erik Ten Hag anajua.So far anafanya Vizuri, padogo alipofeli ni quality ya wachezaji
Fred hawezi kukupa zaidi ya afanyacho,hawezi kukupa Ziada, anamuangusha sana Kocha kupata kilicho bora zaidi
Weghorst hata kupiga mashuti mpira haukai mguuni, akipiga lazima aanguke chini Nadhani adui yake mkubwa ni body Mass yake yeye mwenyewe, size kubwa sana ile kwa mpira wa miguu
Malacia Jana kacheza kwa ukamilifu sana, sikupenda acheze Lakini kacheza Vizuri kwa kiwango cha juu labda kwa vile Spanish Teams always walaini Na yeye mlaini

De Gea nae alituokoa bao moja la kichwa sijui ilikuwa kona ile amefanya Vizuri, kwa Mara ya kwanza nimeona De Gea footwork iki improve.
Casemiro ndio Backbone ya Team kwa sasa, Spanish Teams zilikuwa zinatusumbua kwa sababu tukipata mpira ilikuwa tunarukaruka unarudi kwao tena, Casemiro anaituliza team, pia south America players wanajua sana kukaa Na mpira Na kutuliza team wanatusaidia
Erik Ten Hag anajua.So far anafanya Vizuri, padogo alipofeli ni quality ya wachezaji
Fred hawezi kukupa zaidi ya afanyacho,hawezi kukupa Ziada, anamuangusha sana Kocha kupata kilicho bora zaidi
Weghorst hata kupiga mashuti mpira haukai mguuni, akipiga lazima aanguke chini Nadhani adui yake mkubwa ni body Mass yake yeye mwenyewe, size kubwa sana ile kwa mpira wa miguu
Malacia Jana kacheza kwa ukamilifu sana, sikupenda acheze Lakini kacheza Vizuri kwa kiwango cha juu labda kwa vile Spanish Teams always walaini Na yeye mlaini
