Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Biriani la Ulaya
Manchester United ✍🏿
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="ChichaMandi" data-source="post: 2641" data-attributes="member: 573"><p>Manchester United Wanaweza kuachana na De gea Mkataba wake Ukifika tamati,mkufunzi eric ten Haag pia anahitaji Mlinda lango mwingine na atabariki jambo Hilo Kwa Mikono miwili.</p><p></p><p>Ila kitendo Cha Manchester kumpuuzia Mlinda lango wa Brighton & hove Albion Robert Sanchez kinaweza kuwafanya wajutie Zaidi.Diogo Costa ni Mzuri ndio lakini Sanchez amedhihirisha kuwa Anaweza,Tayari amepafom Kwa Hali ya juu Akiwa pale Brighton, Tofauti na Diogo Costa Ambaye atakuwa mgeni Kwenye ligi na hata kule Liga Portuguese yupo Nyuma ya Vlachodimos Linapokuja swala la kipa Bora.</p><p></p><p>Manchester United Wanaweza wakafanya Kosa Kubwa Kumuacha Robert Sanchez Mwenye Umri Wa Miaka 25 tu.</p></blockquote><p></p>
[QUOTE="ChichaMandi, post: 2641, member: 573"] Manchester United Wanaweza kuachana na De gea Mkataba wake Ukifika tamati,mkufunzi eric ten Haag pia anahitaji Mlinda lango mwingine na atabariki jambo Hilo Kwa Mikono miwili. Ila kitendo Cha Manchester kumpuuzia Mlinda lango wa Brighton & hove Albion Robert Sanchez kinaweza kuwafanya wajutie Zaidi.Diogo Costa ni Mzuri ndio lakini Sanchez amedhihirisha kuwa Anaweza,Tayari amepafom Kwa Hali ya juu Akiwa pale Brighton, Tofauti na Diogo Costa Ambaye atakuwa mgeni Kwenye ligi na hata kule Liga Portuguese yupo Nyuma ya Vlachodimos Linapokuja swala la kipa Bora. Manchester United Wanaweza wakafanya Kosa Kubwa Kumuacha Robert Sanchez Mwenye Umri Wa Miaka 25 tu. [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Biriani la Ulaya
Manchester United ✍🏿
Top
Bottom