MANULA ANAREJEA UWANJANI

Hammy36

Administrator
Jan 17, 2023
56
54
5
Dar Es Salaam
maula.jpeg
Baada ya kuwa nje kwa muda ni rasmi sasa kipa namba Moja wa klabu ya SIMBA, Aishi Manula ameanza mazoezi mepesi ya kuurudisha utimamu wake wa mwili katika Uwanja wa MO SIMBA ARENA uliopo BUNJU

Manula alifanyiwa matibabu Afrika Kusini baada ya kuumia kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) Aprili 7 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

Una Mategemeo Yapi Kutoka Kwake?
 

Kalujo Jonas

Mgeni
May 8, 2024
3
1
5
Atàmut
View attachment 1418
Baada ya kuwa nje kwa muda ni rasmi sasa kipa namba Moja wa klabu ya SIMBA, Aishi Manula ameanza mazoezi mepesi ya kuurudisha utimamu wake wa mwili katika Uwanja wa MO SIMBA ARENA uliopo BUNJU

Manula alifanyiwa matibabu Afrika Kusini baada ya kuumia kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) Aprili 7 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

Una Mategemeo Yapi Kutoka Kwake?
Atamtoa ayuob ♦️♦️??