Simba wanapata ushindi kwenye uwanja wa nyumbani kwa bao 1-0 dhidi ya Namungo ukiwa ni ushindi wao wa 7 kati ya michezo 11 aliyocheza ligi kuu NBC msimu huu. Simba 1-0 Namungo FC Tanzania Prisons 2-4 Geita Gold Mtibwa Sugar 2-1 Costal Union