Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Nyumbani
Majukwaa
Story Mpya
Tafuta Majukwaa
Story Mpya
Posti Mpya
Posti Mpya za wasifu
Vilivyofanyika
Wanachama
Wanaotembelea kwa sasa
Posti mpya za wasifu
Tafuta Posti za wasifu
Ingia
Jiunge
Tafuta
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Tafuta vichwa vya habari tu
Kutoka kwa:
Menu
Install the app
Install
Reply to thread
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Mchawi wa Simba Ni Simba wenyewe
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Message
<blockquote data-quote="Stuart 04" data-source="post: 4137" data-attributes="member: 1566"><p>Mimi nilikuwa nadhani baada ya mzunguuko wa kwanza kukamilika Simba walishaona wapi wamekose, sijategemea Kama wangeingia kwenye presha za usajili tena </p><p> <em>vipi Kama wangeatulia kuanzia dirisha dogo wangesajili <strong>key players</strong> wa maana kwa malengo ya msimu ujao..? Namaanisha mzunguuko wa pili ungekuwa kwenye malengo ya kutengeneza naamini msimu ujao Simba wangekuwa wa Moto saana</em></p><p> Tuangalie ile yanga ya <strong><em>NABI alipoanza nayo ampaka anakuja kubeba ligi alikuwa kwenye kutengeneza timu na aliichukua timu mzunguuko wa pili wakati upo mwanzoni mwanzoni na msimu uliofuata alimaliza kwa kubeba kombe la ligi, why Simba.</em></strong></p><p> <strong><em>Sidhani Kama wanatakiwa kumtafuta mchawi wa hii Vita ya better performance ikiwa hawataki kukubaliana na uhalisia wa timu inavyotaka na sitegemei Kama msimu ujao Simba atabeba tena kwani ataenda kuacha rundo la wachezaji na kuhitaji wachezaji wengi kuongeza ili kutengeneza timu maswali ya kizushi SASA JE ATAWEZA KUWAUNGANISHA WACHEZAJI WOTE KWA KUTUMIA PRE SEASON TUU..? JE ATAWEZA KUWAPATA WACHEZAJI WOTE BORA ANAOWAHITAJI..?</em></strong></p><p> <strong><em>N.B anapotumia kipindi Cha usajili lazima ajue Ni wakati wa kila timu kujiuliza kwahiyo kila mtu yupo sokoni anachotakiwa Simba Ni kuhakikisha hawakosi Target </em></strong></p><p><strong><em></em></strong></p><p><strong><em> NAWASILISHA STUART_04</em></strong></p></blockquote><p></p>
[QUOTE="Stuart 04, post: 4137, member: 1566"] Mimi nilikuwa nadhani baada ya mzunguuko wa kwanza kukamilika Simba walishaona wapi wamekose, sijategemea Kama wangeingia kwenye presha za usajili tena [I]vipi Kama wangeatulia kuanzia dirisha dogo wangesajili [B]key players[/B] wa maana kwa malengo ya msimu ujao..? Namaanisha mzunguuko wa pili ungekuwa kwenye malengo ya kutengeneza naamini msimu ujao Simba wangekuwa wa Moto saana[/I] Tuangalie ile yanga ya [B][I]NABI alipoanza nayo ampaka anakuja kubeba ligi alikuwa kwenye kutengeneza timu na aliichukua timu mzunguuko wa pili wakati upo mwanzoni mwanzoni na msimu uliofuata alimaliza kwa kubeba kombe la ligi, why Simba. Sidhani Kama wanatakiwa kumtafuta mchawi wa hii Vita ya better performance ikiwa hawataki kukubaliana na uhalisia wa timu inavyotaka na sitegemei Kama msimu ujao Simba atabeba tena kwani ataenda kuacha rundo la wachezaji na kuhitaji wachezaji wengi kuongeza ili kutengeneza timu maswali ya kizushi SASA JE ATAWEZA KUWAUNGANISHA WACHEZAJI WOTE KWA KUTUMIA PRE SEASON TUU..? JE ATAWEZA KUWAPATA WACHEZAJI WOTE BORA ANAOWAHITAJI..? N.B anapotumia kipindi Cha usajili lazima ajue Ni wakati wa kila timu kujiuliza kwahiyo kila mtu yupo sokoni anachotakiwa Simba Ni kuhakikisha hawakosi Target NAWASILISHA STUART_04[/I][/B] [/QUOTE]
Verification
Kwani 1 + 1 = ni ngapi?
Post reply
Majukwaa
Maskani ya Michezo na Mikeka
Kijiwe cha Ligi Kuu Bongo
Mchawi wa Simba Ni Simba wenyewe
Top
Bottom