MCHENGERWA WAZIRI MPYA WA MICHEZO, NAIBU YULE YULE.

vuligate

Mgeni
Dec 17, 2021
395
3
5
1641794258673.png
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan amemteua Mohamed Omary Mchengerwa kuwa Waziri mpya wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo.
Mchengerwa akichukua nafasi ya mwana Yanga mwenzake, Innocent Innocent Lugha Bashungwa aliyehamishiwa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Naibu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo anaendelea kuwa Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Philipo Gekul.