Wakipige kweny mashindano sasa wanakuwa kam sio wao vile. Huyo makabi lilepo akishika mpira,mnafunga macho mnamuachia Mungu na kipa😂 Enewei Hongera sana kwa Namungo walioifunga timu iliyomshinda Yanga Namungo 1-0 Al Hilal