Saa 1:00 usiku Simba wanaenda kuwakaribisha Ruvu shooting uwanja wa Benjamin Mkapa, kuzisaka alama tatu muhimu.
Saa 08:00 mchana Geita Gold watakiwasha na wenyeji wao katika mchezo huoo ambao ni Mbeya City.
Saa 1:00 usiku Azam FC wakikaribishwa na Namungo FC ambao ndo wenyeji wa mchezo huo, Azam wakienda kutetea nafasi yao ya pili katika Ligi.
Saa 08:00 mchana Geita Gold watakiwasha na wenyeji wao katika mchezo huoo ambao ni Mbeya City.
Saa 1:00 usiku Azam FC wakikaribishwa na Namungo FC ambao ndo wenyeji wa mchezo huo, Azam wakienda kutetea nafasi yao ya pili katika Ligi.