Mechi za leo Ligi kuu

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
Mechi ya leo Novemba 22, 2022 ni moja tu Saa10:00 jioni Dodoma Jiji anamualika Yanga nyumbani kwake, Yanga anaenda kupambania kurudi nafasi yake ya juu. Bingwa mtetezi huyu leo atachimoka kwa wagogo???
411e5583-f09f-4006-bb1d-544bd35c266a.jpeg
 
  • Like
Reactions: Mgunda Zone