je, Ronaldo na Messi wanastahili kushinda Kombe la Dunia ukilinganisha na pafomansi yao katika michuano hiyo? -MESSI ameshiriki michuano 5 kacheza mechi 20 kafunga goli 7. -RONALDO kashiriki michuano 5 kacheza mechi 17 kafunga goli 7