Tarehe 11/02/1935 klabu ya Wananchi Kutoka mitaa ya Twiga na Jangwani Yanga Ilianzishwa.Leo Tarehe 11/02/2025 imetimiza miaka 90 Toka kuanzishwa kwakeKwa WANANCHI Wa Kijiweni kitu Gani kilikufanya ukanipenda na kuishabikia Yanga?
Tarehe 11/02/1935 klabu ya Wananchi Kutoka mitaa ya Twiga na Jangwani Yanga Ilianzishwa.
Leo Tarehe 11/02/2025 imetimiza miaka 90 Toka kuanzishwa kwake
Kwa WANANCHI Wa Kijiweni kitu Gani kilikufanya ukanipenda na kuishabikia Yanga?