Leo Yanga mmejitahidi ila inabidi wawe wanaandaa wapiga penalt wazuri na sio mtu yeyote tuu au kubahatisha. Mayele ajifunze umakini akifika golini na kutaka kufunga na asitake afunge yeye tuu hata kama hana nafasi nzuri ajifunze kutoa pasi kwa wenzake.
Yanga tunashida mbili endelevu.. mipira ya set pieces na wapigaji wa penalty nadhani hatuna mazoez ya kutosha.
Fantastic display.... Mudathir ni aina ya mchezaji anayehitaji muda wa kufikiria akiwa na mpira, he has to be quick, lasivo watakuwa wanampress wanamnyang'anya kama leo
Mayele akiwa anakimbia kuelekea goli usitegemee atakupasia sometimes anapoteza clear chances.
Tunahitaji winga mmoja wa kisasa anaeweza kukimbia kuelekea ndani, in modern football ukikimbilia pembeni wanakuacha wanakaba alie kwenye box ukipiga tu cross inapotea
Pia Timu leo haikuwa organized sawa sawa Tumepoteza nafasi ikiwemo Penalt na wachezaji kunyimana pasi muhimu kwaajili ya kufunga goli. AzizKi ,TuisilaKisinda ,Bangala ,Musonda wote hawakuwa mchezoni leo.

Yanga tunashida mbili endelevu.. mipira ya set pieces na wapigaji wa penalty nadhani hatuna mazoez ya kutosha.
Fantastic display.... Mudathir ni aina ya mchezaji anayehitaji muda wa kufikiria akiwa na mpira, he has to be quick, lasivo watakuwa wanampress wanamnyang'anya kama leo
Mayele akiwa anakimbia kuelekea goli usitegemee atakupasia sometimes anapoteza clear chances.
Tunahitaji winga mmoja wa kisasa anaeweza kukimbia kuelekea ndani, in modern football ukikimbilia pembeni wanakuacha wanakaba alie kwenye box ukipiga tu cross inapotea
Pia Timu leo haikuwa organized sawa sawa Tumepoteza nafasi ikiwemo Penalt na wachezaji kunyimana pasi muhimu kwaajili ya kufunga goli. AzizKi ,TuisilaKisinda ,Bangala ,Musonda wote hawakuwa mchezoni leo.
