Sema wazee
Ila kuihusisha team na siasa za vyama mnatukwaza mno wazee!!!
Sisi tunaipenda Timu na si vinginevyo
Kiukweli viongozi wetu wasipoliangalia hili kwa jicho la 3 wanachama wengi tutajitoa na hatutachangia tena ada ya Uachama!!
Narudia tena kitendo cha kuhusisha team na mambo ya siasa *mnatukwaza mno* chonde chonde achaneni na hizo mambo kabsa hazina Afya kwenye mpira wetu
Ni ujinga tena ujinga mkubwa kabisa,tubaki kwenye mpira.

Ila kuihusisha team na siasa za vyama mnatukwaza mno wazee!!!
Sisi tunaipenda Timu na si vinginevyo
Kiukweli viongozi wetu wasipoliangalia hili kwa jicho la 3 wanachama wengi tutajitoa na hatutachangia tena ada ya Uachama!!
Narudia tena kitendo cha kuhusisha team na mambo ya siasa *mnatukwaza mno* chonde chonde achaneni na hizo mambo kabsa hazina Afya kwenye mpira wetu
Ni ujinga tena ujinga mkubwa kabisa,tubaki kwenye mpira.
